Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia suala la Syria Geir Pedersen ambaye yupo ziarani nchini humo, amesema anajiandaa kujadiliana na viongozi wa Serikali ya nchi hiyo kuhusu kumaliza mapambano mkoani Idlib.
Bw. Pederson amesema anatarajia kufanya mazungumzo ya kiujenzi na viongozi wa serikali ya Syria kuhusu masuala mbalimbali ambayo yataanza Jumatano.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |