Japan inaongoza kwa alama 10, nne mbele ya Uruguay nayo Kenya imevuna nne. Brazil iko mkiani kwa alama mbili.
Ureno na Tonga wako sako kwa bako kwa alama 10 kila mmoja kileleni mwa Kundi B baada ya kuzoa ushindi mbili kila mmoja. Canada ina alama mbili nayo Hong Kong haina kitu. Mashindano haya yatakamilika Julai 21, huku bingwa akipandishwa ngazi kushiriki Raga ya Dunia ya daraja ya juu kujaza nafasi ya Scotland iliyotemwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |