Magufuli alitoa mfano wa uchumi wa China, Nigeria na India ambazo zimepatikana kutokana na idadi kubwa ya watu.
Uchumi wa Tanzania ndio wa pili katika Jumuiya ya Afrika Mashariki na wa kumi Afrika.
Nchi inategemea sana kilimo kwa ajili ya ajira.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |