• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Museveni awahimiza wakulima wa miwa kupanda miwa yao wenyewe

    (GMT+08:00) 2019-07-15 19:57:44

    ‏Rais Museveni amesema kuwa bei ya miwa itaendelea kushuka kwa sababu hakuna kitu ambacho serikali inaweza kufanya na kuwashauri wakulima kupanda miwa yao wenyewe.

    Taarifa ya Rais imetokana na kushuka kwa bei ya sukari kutoka Shs 128,000 hadi Sh 120,000 kwa tani.

    Bei ya sukari pia imeshuka kutoka Sh 185,000 kwa kila kilo 50 ya sukari mwezi Machi 2018 hadi sasa Shs 131,000.

    Ushauri wa Museveni unakuja baada ya wakulima wa miwa katika mikoa ya uzalishaji miwa kukataa maagizo kutoka kwa waziri wa Biashara na Viwanda, Bilia Amelia Kyambadde, yakuwazuia wakulima wasiuze miwa yao kwa nchi jirani.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako