Kitendo cha Senegal na Algeria kutinga fainali hizo, kimewafanya makocha Alio Cisse na Djamel Belmadi ambao ni wazawa kuvunja mfupa uliowashinda makocha 11 wa kigeni waliowahi kuzinoa timu mbalimbali kwenye mashindano hayo.
Jambo la kufurahisha zaidi, Cisse anayewanoa Simba wa Teranga Senegal na Belmadi anayewafundisha Algeria wote waliwahi kushirki fainali za AFCON wakiwa wachezaji na baadaye kugeukia ukocha baada ya kustaafu kucheza soka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |