Mwakinyo baada ya kumchapa Sam Eggington aliyekuwa bondia namba nane wa dunia kwenye uzani wa welter kwa TKO, septemba 8 mwaka jana pambano lililoacha gumzo nchini Uingereza, amekuwa akipigana na mabondia ambao baadhi ya wadau wa ngumi wamedai ni dhaifu kulinganisha na rekodi yake.
Saleh amesema, kila bondia anapaswa kujipa muda wa kupumzika kati ya pambano na pambano, na kwa mwaka bondia anapaswa kuchezo mapambano matatu ama manne.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |