• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • AFCON 2019: Kocha wa Madagascar atoa neno, azitakia Senegal na Algeria mchezo mzuri wa kuvutia

    (GMT+08:00) 2019-07-17 08:17:10
    Kocha wa timu ya taifa ya Madagascar, Nicolas Dupuis amesema ni vigumu kwa timu inayoshiriki kwa mara ya kwanza fainali za mataifa ya Afrika (AFCON 2019) na kufika hatua ya robo fainali, na kuahidi kufanya vizuri katika mashindano yajayo. Timu hiyo kutoka bahari ya Hindi ilishuhudia ndoto zao zikiyeyuka baada ya kufungwa na Tunisia bao 3-0.

    Dupis alianza kuifundisha timu hiyo mwaka 2017 na kuibadili timu hiyo ya taifa ambayo ilikuwa katika nafasi ya 190 na kuwashangaza wadau wa soka kwa kufuzu michano hiyo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako