Msemaji wa klabu hiyo amethibitisha habari hizo, na kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari, Diallo tayari yuko Paris kwa ajili ya vipimo vya matibabu.
BVB watakuwa Marekani kwa wiki moja ambapo watacheza na Seattle Sounders Alhamisi na kisha mabingwa wa Champions League Liverpool wanaoongozwa na kocha wa zamani wa Dortmund Juergen Klopp siku ya Jumamosi. Msimu wa Bundesliga unaanza katikati ya Agosti.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |