• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Serikali kuweka marsharti makali kwa upatikanaji wa Leseni ya Madini

    (GMT+08:00) 2019-07-17 15:34:39
    Serikali ya Uganda imetangaza kuondoa utoaji wa leseni za madini kwa mkono mwezi ujao na kuimarisha mfumo wa kukuza ufanisi na uwazi.

    Bw. Robert Kasande, katibu wa kudumu katika Wizara ya Nishati na Maendeleo ya Madini, amesema wanahamisha shughuli ya kupeana leseni kwenye jukwaa la mtandao kufuatilia leseni haraka.

    Kasande amesema leseni ambazo hazikubaliki zinaendelea kuondolewa ili kufungua njia kwa wawekezaji wapya kuhamasisha sekta ndogo.

    leseni kupeanwa kwa njia ya matandao inatarajiwa kupunguza muda kwa wafanyabiashara wa madini, kuongeza uwezo wa kukusanya mapato ya serikali na kupunguza uasifu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako