Kutokana na mwaliko wa Marekani, naibu waziri mkuu wa China Bw Liu He ambaye ni kiongozi wa ujumbe wa China kwenye mazungumzo ya kibiashara ya pande zote kati ya China na Marekani, jana amefanya mazugumzo kupitia simu na mjumbe wa mambo ya kibiashara wa Marekani Bw Robert Lighthizer na waziri wa fedha wa nchi hiyo Bw Steven Mnuchin, na kubadilishana nao maoni kuhusu kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa kwenye mkutano wa viongozi wa nchi mbili uliofanyika mjini Osaka, Japan pamoja na mambo ya mazungumzo ya awamu ijayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |