Baraza la juu la bunge la Marekanilimepigakura na kumthibitisha Bw. Mark Esper kuwa waziri wa ulinzi, hatua ambayo imemaliza kipindi cha karibu miezi saba cha ukosefu wa mkuu wa kudumu wa wizara hiyo.
Bw. Esper alitarajiwa kuapishwa katika Ikulu leo hii.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |