Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) limetangaza kupitia tovuti yake kuwa bodi ya magavana itafanya mkutano kujadili uteuzi wa mkurugenzi mkuu mpya atakayechukua nafasi ya Yukiya Amano aliyefariki wiki iliyopita. Ajenda ya mkutano huo pia inatarajiwa kutoa heshima kwa Amano, na kumteua kaimu mkurugenzi mkuu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |