Kipindi cha kwanza timu zote mbili hazikupiga shuti lililolenga lango la mpinzani wake.
Naye kocha wa Harambee Stars amesema, licha ya kikosi chake kuwa kipya lakini vijana wake wamecheza vizuri lakini hawakuwa makini katika umaliziaji hali iliyopeleka kushindwa kupata hata goli moja, ameshaona mapungufu na atayafanyia kazi kabla ya mechi ya marudiano
Taifa Stars italazimika kushinda ugenini jijini Nairobi nchini Kenya kwenye mchezo wa marudiano utakaopigwa Agosti 4.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |