Baadhi ya dawa imekuwa ngumu kupata au hazipatikani kabisa.
Upungufu wa dawa uliripotiwa katika majimbo matano ya Darfur na Kaskazini na Kordofan Magharibi. Wanafamasia walithibitisha kuwa baadhi ya hazipo kwenye soko tena.
Walilalamikia ukosefu wa dawa za kuokoa maisha, dawa za wagonjwa wa akili, na zakupunguza joto kwa kwa watoto wachanga.
Wasudan katika sehemu mbali mbali za nchi walikuwa na ugumu wa kukabiliana na ongezeko la bei ya chakula.
Familia kadhaa zililalamika kwamba hali hiyo inawalazimisha kupunguza chakula chao cha kila siku kuwa moja tu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |