Wavuvi hao wanasemekana waliwekwa kizuizini katika Kisiwa cha Hama baada ya kukamatwa na maafisa kutoka Mamlaka ya Mapato ya Uganda (URA).
Haijulikani ni kwanini walipelekwa katika kisiwa hicho lakini Maafisa wa Kitengo cha Usimamizi wa Bahari (BMU) katika Kaunti ya Homa Bay, magharibi mwa Kenya, wanaamini wavuvi wanaweza kuwa walivuka mpaka wa kati ya Kenya na Uganda kiharamu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |