Lengo la mashindano hayo ni kutafuta timu ya taifa ya baiskeli itakayowakilisha Tanzania kwenye mashindano mbalimbali ya kimataifa.
Rais wa chama cha waendesha baiskeli nchini humo (CHABATA) Geofrey Mhagama amesema wamefanikiwa kwa asilimia kubwa kuunda kikosi hicho kutoka mikoa 6 ya Dar es Salaam, Arusha, Tanga, Mwanza, Simiyu, na Shinyanga.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |