Bale mwenye umri wa miaka 30, alitarajiwa kujiunga na klabu ya China Jiangsu Suning kwa mkataba wa miaka mitatu kwa dau la pauni milioni 1 kwa wiki.
Wiki iliopita meneja wa Real Madrid, Zinedine Zidane alisema Bale alikuwa anakaribia kuondoka Madrid baada ya kiwango chake cha mchezo kuzorota. kwa sasa mchezaji huyo hana maelewano mazuri na Zidane.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |