Tayari, vijana kutoka taifa la Rwanda wameanza kutumia teknolojia ya kisasa kwenye kilimo cha shamba kitalu almaarufuu green house. Wengi wameanza kuasi mitindo ya kilimo cha zamani na kukumbatia kilimo kinachotumia teknolojia ya kisasa. Tayari, mazao yameanza kushuhudiwa. Wito umezidi kutolewa kwa vijana nchini Rwanda kuanza kilimo cha shamba kitalu kama njia moja ya kujiajiri, kando na kuzalisha vyakula aina mbali mbali kwa taifa la Rwanda na mataifa mengine.
Mojawapo ya manufaa ya shamba kitalu ni kwamba, mkulima ana nafasi ya kupanda mazao yake msimu wowote mwakani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |