Jumapili mwishoni mwa wikiendi, timu hizo zilicheza mchezo wa kwanza jijini Dar es Salaam na kutoka sare ya bila kufungana mchezo wa kuwania kufuzu fainali za CHAN kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani.
Migne amesema, mechi ya kwanza ingemalizika kwa suluhu ya kufungana mabao ingekuwa nafuu kwao kuliko ya bila kufungana.
Nao wachezaji wa Tanzania wamesema wanakwenda Kenya kutafuta ushindi baada ya kuukosa nyumbani kwao Tanzania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |