Moratta amebainisha kuwa, bado wanania ya kumsajili Lukaku wataendelea na mazungumzi na Man U.
Wakati Inter Milan wakihangaikia suala la pesa, Juventus nayo imekoleza presha ya kumsaka mchezaji huyo huku wakitaka kumtoa Paulo Dyabala kwenda Man United kama sehemu ya dili hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |