Mabadiliko hayo ni sehemu ya mabadiliko ya kiuchumi yaliyoanzishwa na Waziri Mkuu Abiy Ahmed wakati alipochukua mamlaka mwaka jana,yanayolenga kupiga jeki hifadhi za mabadilishano ya fedha kigeni,ambayo yalikuwa yameshuka.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mapato,Bajeti na Fedha,Lemlem Hadgo alisema sheria hiyo mpya itawawezesha wazawa wa Ethiopia ambao wanaishi nchi za nje kushiriki katika ukuaji wa uchumi wa nchi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |