Huu ndio ujumbe aliutoa kwa wadau mbalimbali wakati akifunga rasmi makala ya 14 ya maonesho ya kila mwaka ya kilimo katika kiwanja cha maonesho cha Mulindi katika wilaya ya Gasabo.
Kutokana na kuwa kilimo ndio kinachoingiza mapato mengi sio tu kwa wanyarwanda bali pia kwa uchumi wa nchi,mengi yamefanywa ili kuboresha sekta hiyo ikiwa ni pamoja na kuanzishwa kwa mpango wa kimkakati ambao utaenda kwa muda wa miaka sita (2018-2024).
Mpango wa kimkakati kwa ajili ya sekta ya kilimo unalenga kuwaondoa wakulima kutoka kilimo cha kujikimu hadi kilimo cha biashara.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |