Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 amesaini mkataba wa miaka mitano katika uwanja wa Emirates baada ya kufanyiwa uchunguzi wa afya siku ya Jumanne.
Pepe alifunga magoli 35 katika mechi 71 za ligi ya Ufaransa akiichezea Lille baada ya kujiunga kutoka klabu ya Angers 2017.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |