• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ofisa wa Umoja wa Mataifa asifu mchango wa kikosi cha kulinda amani cha China kwenye operesheni ya kuondoa mabomu

    (GMT+08:00) 2019-08-12 09:23:52

    Mkurugenzi wa kikosi cha muda cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon De Reviers De Mauny, amesifu mchango unaotolewa na kikosi cha kulinda amani cha China. Akizungumza wakati alipokagua operesheni ya kuondoa mabomu hapo jana, Bw. De Mauny amesema kikosi hicho kinachoshughulikia uondoaji wa mabaomu ni nguvu ya lazima ya kulinda amani ya dunia.

    Katika miaka 13 iliyopita, kikosi cha kulinda amani cha China kimeshiriki kwenye operesheni ya kuondoa mabomu bila vifo wala majeruhi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako