Gavana wa Benki ya Uganda, Emmanuel Tumusiime-Mutebile amesema changamoto kadhaa ziko katika njia ya kutekeleza kikamilifu Itifaki ya Jumuiya ya Fedha ya Afrika Mashariki.
Changamoto kadhaa zinasimama katika njia ya kutekeleza kikamilifu Itifaki ya fedha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Hii inamaanisha wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki EAC sasa wana miaka mitano ya kutekeleza mfumo wa sarafu moja na miaka miwili kufuata vigezo kuu vya ujumuishaji uchumi jumla.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |