Kaimu mkurugenzi mtendaji wa EAPCC, Stephen Nthei amesema kufutwa kwa wafanyikazi mishahara itapunguzwa ili kampuni hiyo irudi tena imara katika soko.
Portland Cement ilikuwa na wafanyikazi 936 mwishoni mwa Juni 2018, lakini tangu sasa imeshuka hadi 800 kwa mujibu wa kaimu MD.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |