• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Wanachama wa SADC Walihamasishwa Kuongeza Biashara ya ndani

    (GMT+08:00) 2019-08-12 20:00:04
    NJIA pekee ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) inaweza kuwa kitovu cha Kiuchumi ni kwa matumizi sahihi ya rasilimali pamoja na kuunganishwa vizuri na msingi wa uchumi, ofisa amesema.

    Kwa upande wake, Rais John Magufuli wakati akifungua hafla hiyo alisisitiza biashara ya ndani ya SADC, inapaswa kupewa kipaumbele.

    Dk. Tax amehimiza umma kutumia fursa katika mkoa wa SADC, akibaini kuwa usaidizi wowote utapeanwa ikiwa kuna shida yoyote.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako