Kwa upande wake, Rais John Magufuli wakati akifungua hafla hiyo alisisitiza biashara ya ndani ya SADC, inapaswa kupewa kipaumbele.
Dk. Tax amehimiza umma kutumia fursa katika mkoa wa SADC, akibaini kuwa usaidizi wowote utapeanwa ikiwa kuna shida yoyote.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |