Kitakapokamilika kiwanda hicho kitasafisha mapipa 650, 000 ya mafuta kwa siku.
Mkurungezi mkuu wa Dangote Group, bwana. Devakumar Edwin, amesema mtambo wa kuhifadhia mafuta ghafi unatarajiwa kuwasili kutoka China baadaye mwezi Oktoba.
Aidha Edwin amaesema kama sehemu ya kukuza biashara zake Dangote itaajiri wataalam 33 wa kufuatilia bei za mafuta kwenye masoko ya kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |