Mbali na kuongeza thamani ya pato la pamba la Uganda, viwanda zinaweza kuajiri wafanyikazi 50,000 kupata jumla ya dola milioni 50 kila mwaka.
Mkakati huo unapendekeza kufufua mnyororo wa thamani ya uzalishaji wa pamba na uwekezaji katika mavazi yanayoelekezwa nje na vile vile viwandani vya uzalishaji wa mavazi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |