• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ethiopia, China waungana kujenga sehemu ya viwanda.

    (GMT+08:00) 2019-08-14 19:47:11

    Ethiopia na China ziko tayari kushirikiana kujenga uwanja mpya wa viwanda , wa dola milioni 300 za katika nchi ya Afrika mashariki.

    Liu Yu, mshauri wa kiuchumi na kibiashara katika ubalozi wa China nchini Ethiopia, amesema ujenzi unatarajiwa kuanza kabla ya mwisho wa mwaka wa 2019.

    Liu amesema asilimia 85 ya ufadhili unaohitajika kujenga mbuga ya viwanda utatoka kwa mikopo ya serikali ya Uchina, wakati asilimia 15 itatoka kwa serikali ya Ethiopia.

    mbuga ya viwanda inatarjiwa kuvutia makampuni yanayoshiriki katika utengenezaji wa vifaa.

    mbuga ya viwandani inatarajiwa kuunda fursa za kazi kwa karibu watu 25,000, na ni sehemu ya mpango mzuri wa Ethiopia wa kubadilisha uchumi wake wa kilimo kwa kiasi kikubwa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako