Ndege zisizo na rubani za Uturuki zimeanza operesheni kaskazini mwa Syria ambako eneo salama litaanzishwa kwa mujibu wa makubaliano kati ya nchi hiyo na Marekani. Wizara ya Ulinzi ya Uturuki imesema juhudi zinafanyika ili kuanzisha Kituo cha Operesheni cha Pamoja katika mkoa wa Sanliurfa, kusini mashariki mwa Uturuki mapema iwezekanavyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |