• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Wizara ya mambo ya nje ya Russia yasema operesheni yoyote ndani ya Operesheni zote zinazopanga kufanyika nchini Syria zinatakiwa kupata ruhusa ya serikali ya Syria

    (GMT+08:00) 2019-08-16 19:56:30

    Msemaji wa Wizara ya mambo ya nje wa Russia Bi. Maria Zakharova amesema kuwa operesheni yoyote ndani ya Syria inatakiwa kupata ruhusa ya serikali ya Syria, kwa sababu inahusu mamlaka ya nchi hiyo.

    Akiongea na wanahabari Bi. Zakharova amesema kama nchi yenye mamlaka, Syria inatakiwa kudhibiti hali yake ya ndani na kutoa maamuzi husika, na kwamba Russia haikubali sababu yoyote ya kuigawa Syria, na msimamo huo hautabadilika kamwe, haswa operesheni ya Uturuki nchini humo, na kutumai kuwa Uturuki itatekeleza makubaliano yaliyofikiwa mwezi Septemba mwaka jana mjini Sochi kati ya nchi hizo mbili.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako