Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Dkt Bernard Kibesse anatafuta usalama na faragha ya habari ya wateja.
Dk Kibesse anataka sekta ya benki kutumia teknolojia iliyonayo kuweka usalama wa habari za wateja.
Alikuwa akihutubia wakubwa na wadogo katika sekta ya fedha kujadili maadili na mazoea bora katika benki ya kidijitili na fedha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |