Wizara ya ulinzi ya Tunisia imetangaza kuwa jeshi la serikali litaimarisha ulinzi wa kijeshi katika eneo la mpaka na Libya. Hatua hiyo imekuja baada ya askari polisi kupambana na kuwafukuza nje wapiganaji walioingia Tunisia kiharamu kutoka Libya jumamosi iliyopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |