Mkurungezi mkuu wa shughuli za uchimbaji madini nchini Rwanda Francis Gatare, ameyataja makubaliano hayo kama mfano wa utekelezaji wa ruwaza ya sekta ya madini ya Afrika kupitia kwa ushirikiano.
Ruwaza hiyo iliidhinishwa mwaka 2009 na itanufaika na soko huria la Afrika.
Gatarre alisema ili nchini hizo zinafanikishe malengo yake ya sekta ya madini zinahitaji uwekezaji wa sekta ya kibinafsi.
naye waziri wa madini wa Zimbabwe Winston Chitando, amesema makubaliano hayo yataiwezesha nchi yake kujifunza kutoka Rwanda hasa kwa wachimba madini waodogo wadogo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |