Sanchez anaripotiwa kuwa tayari kurudi Italia baada ya kuwa na msimu mbovu na Man U, vyanzo mbalimbali vinaripoti kuwa pamoja na kuwa Inter Milan wamekubali kumnunua kwa mkopo mchezaji huyo lakini hawajampa ofa zaidi ya mshahara wa pauni 150,000 kwa wiki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |