Nao Taifa Stars wameanza mazoezi katika uwanja wa Boko Veterani jijini Dar es Salaam.
Kocha mkuu wa Burundi, Alain Oliever Niyungeko ametangaza kikosi cha wachezaji 29 ambacho kitaikabili Taifa Stars. Burundi watakuwa wenyeji wa Tanzania mchezo huo utapigwa kwenye uwanja wa Intwari, kabla ya kukutana tena katika mchezo wa marudiano utakaopigwa jijini Dar es Salaam Septemba 7.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |