Yanga itaikaribisha Zesco United katika mchezo wa ligi ya mabingwa Afrika utakaopigwa Septemba 14 uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. Endapo Yanga itashinda mechi zote mbili nyumbani na ugenini dhidi ya timu hiyo, itatinga moka kwa moja hatua ya makundi ya ligi hiyo.
Zahera amesema, kama Simba waliichapa Al Ahly ya Misri, AS Vita ya DR Congo na JS Saoura ya Algeria, haoni kwanini Zesco waibuke wababe mbele yao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |