Timu ya Kenya inayojulikana kama Jasiri, imenyakua medali yake ya kwanza ya dhahabu kwenye kitengo cha Sparring kwa wanaume wa zaidi ya uzani wa kilo 90 ambapo Gordon Ochieng alifanikiwa kumshinda Ki Hoon wa Korea Kusini kwa 3-2.
Lona Apiyo Abiero ameipatia Kenya medali ya pili ya dhahabu kwenye kitengo cha Sparring kwa wanawake kwa uzani wa chini ya kilo 65 baada ya kumnyuka Nattakarn Khamsopmpond wa Thailand kwa 5-4.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |