• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania: wakulima wanataka kuhakikishiwa mtaji, soko kuongeza uzalishaji.

    (GMT+08:00) 2019-09-02 19:39:00
    Wadau wa kilimo wameiomba serikali kuwekeza kwa wakulima wadogo kuhakikisha usalama wa chakula na mauzo ya nje.

    Wanasema hii inaweza kufanywa kwa kuwapa soko la mtaji na la kuaminika

    Wakizungumza wakati wa mkutano wa siku mbili, wafanyabiashara, wamiliki wa mitambo ya kusindika na wadau wengine wamesema nchi ina ardhi yenye rutuba, lakini wakulima wamepoteza mtaji na uhakika wa soko.

    Bwana Salumu Ismail, katibu mkuu wa Chama cha Wakulima cha muhogo anaitaka serikali ipe wakulima wadogo motisha ambayo itawachochea kuongeza tija.

    Pia wataka serikali kudhibiti bei ya mazao ya chakula ili kuhakikisha faida ya wakulima na uzalishaji unakua.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako