Idara ya Kilimo ya Australia imesema kuwa hakutakuwa nakuongezwa kwa muda.
Sasa, kuna hofu kati ya wazalishaji na wauzaji kuwa Umoja wa Ulaya unaweza kukopi kile Australia.
Mamlaka ya Australia ilianzisha kanuni hizo mnamo Machi 2018, na ikapea walengwa wakati wa kufuata, kupanua muda wa kuanza mara tatu.
Maua yanayosafirishwa kwenda Australia lazima pia ya safishwa katika nchi ya asili, tofauti na hapo awali wakati zilikuwa kizisafishwa huko Australia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |