Wakulima hao wamesema wamekuwa wakipata hasara kubwa, kucheleweshwa malipo, na pia kulaghaiwa na madalali.
Chama cha wakuza nafaka cha eneo hilo kimesema kuwa vyama vya wakulima 100 tayari vimeonesha nia ya kununua hisa kwenye viwanda vitakavyoanzishwa kwaka ujao.
Mweka hazina wa vyama hivyo David Kiberenge amesema viwanda vitatu vitahudumia wakulima kwenye kaunti za Uasin Gishu, Trans Nzoia, Nandi na Elgeyo Marakwet.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |