Kampuni hiyo imesema hadi sasa imeunganisha nyumba 297,885.
Kwenye ripoti yake ya mwaka Safaricom inasema imeongeza kilomita 1,000 za nyaya za kusambaza inaneti ndani ya kipindi cha mwaka mmoja.
Aidha huduma za intaneti zimefikia biashara 2,400.
Taakwimu za hivi karibuni kutoka kwa mamlaka ya mawasiliano zinaonesha kuwa Safaricom iliongeza mgao wake wa soko kwa wateja wa intaneti hadi asilimia 31.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |