Katika notisi iliyochapishwa jana,Mkurugenzi Mkuu wa UCL,Bw George Inholo, alisema kampuni hiyo inatarajia kupata hasara kwenye utendaji wake katika kipindi cha kuanzia mwezi januari hadi Juni 2019 kutokana na changamoto za uendeshaji.
Katika kipindi sawa na hicho mwaka jana kampuni hiyo ilipata faida.
Hasara hiyo,Inholo alisema,imetokana na kupungua kwa mapato,na hatimaye kuathiri uendeshaji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |