• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: Mechi za kufuzu fainali za mataifa ya Ulaya (EURO 2020) zimeendelea jana

    (GMT+08:00) 2019-09-11 08:58:02
    Mechi mbalimbali za kufuzu fainali za mataifa ya Ulaya (EURO 2020) zimeendelea jana katika viwanja tofauti barani humo, Kundi A Uingereza imeimimia mvua ya magoli Kosovo kwa kuifunga 5-3, huku Jamhuri ya Czech ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Montenegro, katika kundi B, vijana wa Ureno wameifundisha Lithuania namna soka linavyochezwa kwa kuibamiza magoli 5-1, huku Serbia ikiibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Luxembourg. Na kundi H Albania imeibuka na ushindi wa 4-2 dhid ya Iceland, huku Ufaransa wakiwafunga Andorra kwa mabao 3-0, nao Uturuki wameonyesha ubabe wao kwa Moldova kwa kuwapa kichapo cha goli 4-0.
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako