Kikosi kamili kitakachopeperusha bendera ya taifa kitafichuliwa rasmi kesho Ijumaa, muda mfupi baada ya kukamilika kwa mchujo wa kitaifa utakaoendeshwa na Shirikisho la Riadha la Kenya (AK) kuanzia leo uwanjani Nyayo, Nairobi.
Kwa mujibu wa Barnabas Korir ambaye ni mwenyekiti wa wa kamati wa AK, mahali ambapo kikosi cha Kenya kitapigia kambi kabla ya kufunga safari ya kuelekea Qatar patajulikana pia mwishoni mwa mbio za mchujo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |