Vikosi vya wanamgambo vya Hashd Shaabi vimesema vimetungua droni isiyojulikana ambayo ilijaribu kushambulia kwa bomu jeshi la Iraq mkoani Diyala, mashariki mwa nchi hiyo. Taarifa iliyotolewa na vikosi hivyo haikueleza kwa kina kuhusu mabaki ya droni hiyo au kuitambua droni hiyo ni ya nani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |