Mchezo huo ulipigwa uwanja wa Martyrs jijini Kinshasa jana, wadau wa soka nchini DRC wametoa maoni yao baada ya mchezo huo kuwa, bado timu hiyo ya taifa ya wanawake inakazi kubwa ya kurekebisha makosa kabla ya kukutana na timu ya taifa ya Cameroon Oktoba 4 jijini Younde Cameroon katika mchezo wa kufuzu michuano ya Olimpiki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |