Rais Donald Trump wa Marekani jana alitangaza kumteua Robert O'Brien aliyeshughulikia mambo ya mateka kwenye Wizara ya mambo ya nje, kuwa msaidizi wa mambo ya usalama wa taifa wa rais.
Rais Trump alipotangaza uteuzi huo kupitia mtandao wa twitter ameeleza kuwa, atashirikiana na O'Brien kufanya kazi na kuamini kuwa atashinda wadhifa huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |