Kampuni hiyo wiki iliyopita ilipeana barua za kusimamishwa kazi kwa wasimamizi na mameneja 136.
Portland ilipata hasara ya jumla ya Sh bilioni 1.26 katika miezi sita hadi Desemba, ikilinganishwa na upotezaji wa Sh milioni 966 katika kipindi kama hicho mwaka uliopita.
Wafanyikazi wadogo watafutwa kazi wakati kiwanda hicho kitauza ardhi ya ekari 2000.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |